Latest News
Taarifa za wanachama, Hali na wajibu
Aina za wanachama Kutakuwa na aina zifuatazo za wanachama: Wanachama waanzilishi. Uanachama utakuwa wa...
Vyombo vya Mandela Veteran Football Club
Ufafanuzi wa Muundo na kazi zake
Hali na wajibu wa Mwanachama ndani ya Mandela Veterani
Mandela VFC | 4:1 | Chaguvara FC | October 19 2023 | View Statistics |
Mandela VFC | 2:3 | Makambi VFC | October 09 2023 | View Statistics |
Mandela VFC | 3-2 | Kambarage VFC | September 03 2023 | View Statistics |
Mandela VFC | 3-2 | Lizabon Veterans FC | April 02 2019 | View Statistics |
Mandela VFC | 2:3 | Soka City | October 18 2023 | View Statistics |
Who We Are
Mandela Veterans Sports Club ni klabu ya mpira wa miguu na michezo mbalilbali yenye maskani yake Bombambili, Manispaa ya Songea, Mkoa wa Ruvuma, Tanzania. Ikiwa imeanzishwa mnamo mwaka 2000 na yenye Kauli mbiu ya kuboresha afya na kukuza Utalii kusini mwa Tanzania.
Mandela Veterans Sports Cub, ni moja ya vilabu vikongwe zaidi ndani ya mkoa wa Ruvuma na Tanzania kwa ujumla na ni klabu iliyofurahia mafanikio makubwa sana ikiwa na kuwa na uongozi imara na wanachama wenye weledi na pamoja na kuwa na uwanja wao wa mazoezi wa Sokoine. Mandela Veterans Sports Club ni club iliyosajiliwa na baraza la michezo la Taifa na wana wanachama wapatao 120 kutoka jinsi zote.
Pia wana katiba inayowaongoza kwenye mambo yao ikiwepo wajibu na haki za mwanachana, taratibu za kujiunga na kujiondoa kwa mwanachama, michango na taratibu zingine zinazohusi jumuiya ya wanakikundi. Mandela Veterans Sports Club inaushiriki mkubwa kwenye michezo mabalimbali kwani wana siku yao inayowafanya wakutane na kuwa na michezo mbalimbali kama namna ya kuboresha afya na kusumisha undugu kati yao na jamii kwa ujumla.