Kila mwanachama wa Klabu atakuwa na wajibu ufuatao: Kulipa kiasi chote cha fedha anachodaiwa na Klabu pamoja na michango Kuwa mwaminifu na mtiifu kwa Klabu Kukubali kufuata Katiba hii, kanuni, maagizo na maamuzi ya Klabu na ya vyama vya mpira wa miguu (SUFA, FARU na TFF) Kufuata kifungu cha sheria kinachoeleza bayana kuwa hatua zote za kisheria zinazohitaji…