![](https://mandelaveteransportsclub.co.tz/wp-content/uploads/2020/11/Capturej_1200x740.png)
Mwanachama anaweza kujifuta uanachama kwa kuwasilisha barua kwa Katibu wa Klabu.
Kufukuzwa uanachama
Mkutano Mkuu unaweza kumfukuza mwanachama kutokana na ukiukwaji waKatiba hii, kanuni, maagizo na maamuzi ya Mandela Veteran Football Club kulingana na vigezo vilivyoainishwa kwenye Ibara ya 13 hapo juu.