Mandela Veteran Football Club itakuwa na vyombo vifuatavyo: Mkutano Mkuu Bodi ya utendaji Sekretarieti Kamati za kudumu Kamati ya nidhamu Kamati ya uongozi Chombo cha ukaguzi wa mahesabu Bodi ya utendaji ina mamlaka ya kuteua kamati za kudumu, na kamati hizo ni za ushauri zitakazoongozwa na kanuni maalumu zitakazothibitishwa na Bodi ya utendaji Endapo dharura …