1. Mandela Veteran  Football  Club  itakuwa  na  vyombo  vifuatavyo:
  • Mkutano Mkuu
  • Bodi ya  utendaji
  • Sekretarieti
  • Kamati za  kudumu
  • Kamati ya  nidhamu
  • Kamati ya  uongozi
  • Chombo cha  ukaguzi wa  mahesabu

Bodi  ya  utendaji  ina  mamlaka  ya  kuteua  kamati  za  kudumu,  na  kamati  hizo  ni  za  ushauri  zitakazoongozwa  na  kanuni  maalumu  zitakazothibitishwa  na  Bodi  ya  utendaji

  1. Endapo dharura  au  jambo  maalumu  linalohusu  maslahi  ya  Klabu  na  linahitaji  kushughulikiwa  kipekee  au  kuchambuliwa  kwa  kina,  Bodi  ya  utendaji  ina  mamlaka  ya  kuteua  Kamati  ya  dharura  kwa  madhumuni    Kamati  hiyo  itakuwa  ya  ushauri  na  yenye  hadidu  rejea  zilizoidhinishwa  na  Bodi  ya  utendaji
mandela
November 9, 2022

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *