08 Mar
mandela

 Aina za wanachama Kutakuwa na aina zifuatazo za wanachama: Wanachama waanzilishi. Uanachama utakuwa wa wazi kwa watu wote. Wanachama wa kuomba. Raia wa  Tanzania  ambao  watapenda  kuwa  wanachama  wa  Mandela  Veteran  Football  Club wataomba  kuwa  wanachama  na  kupewa  masharti ya  kujiunga  kulingana na vigezo vya katiba hii. Wanachama wa heshima. Wale wote  waliopewa  uanachama  wa …

09 Nov
mandela

Mandela Veteran  Football  Club  itakuwa  na  vyombo  vifuatavyo: Mkutano Mkuu Bodi ya  utendaji Sekretarieti Kamati za  kudumu Kamati ya  nidhamu Kamati ya  uongozi Chombo cha  ukaguzi wa  mahesabu Bodi  ya  utendaji  ina  mamlaka  ya  kuteua  kamati  za  kudumu,  na  kamati  hizo  ni  za  ushauri  zitakazoongozwa  na  kanuni  maalumu  zitakazothibitishwa  na  Bodi  ya  utendaji Endapo dharura …

25 Jan
mandela

Ufafanuzi wa Muundo Mkutano Mkuu  ni  mkutano  ambao  wanachama  wote  wa  Klabu  watakutana  na  utawakilisha mamlaka   ya  juu  ya Klabu.  Huu   ni  mkutano  ulioitishwa  kwa  kufuata  utaratibu  uliowekwa  na  utakuwa  na  mamlaka   ya  kufanya  maamuzi Hali kadhalika,  watakaoitwa  katika  Mkutano  Mkuu  huo  kama  washauri  ni  wanachama  wa  heshima  watakaoteuliwa  na  Bodi  ya  utendaji Bodi ya …

25 Nov
mandela

Kila mwanachama wa Klabu atakuwa na wajibu ufuatao: Kulipa kiasi chote cha fedha anachodaiwa na Klabu pamoja  na  michango Kuwa mwaminifu na mtiifu kwa Klabu Kukubali kufuata Katiba hii, kanuni, maagizo na maamuzi  ya  Klabu  na  ya  vyama  vya  mpira  wa  miguu  (SUFA, FARU  na TFF) Kufuata kifungu cha sheria kinachoeleza bayana kuwa hatua zote za kisheria zinazohitaji…

25 Nov
mandela

Kamati ya ufundi na tiba Kamati  ya  ufundi  na  tiba  itachambua  vipengere  vya msingi  vya  maendeleo  ya  ufundi  ya  mchezo  wa  mpira  wa  miguu.  Itaandaa  mpango  wa  maendeleo,  kufuatilia  utekelezaji  na  kufanya  tathimini  ya mara  kwa  mara  ya  mafanikio  au  vikwazo  katika  mchezo  wa  mpira  wa  miguu  na  Klabu  kwa  ujumla.  Pia  itashughulika  na  masuala …

25 Nov
mandela

Mwanachama  anaweza  kujifuta  uanachama  kwa  kuwasilisha  barua  kwa Katibu  wa  Klabu. Kufukuzwa uanachama Mkutano  Mkuu  unaweza kumfukuza  mwanachama  kutokana  na  ukiukwaji  waKatiba  hii,  kanuni,  maagizo  na  maamuzi  ya  Mandela  Veteran  Football  Club kulingana na vigezo vilivyoainishwa kwenye Ibara ya 13 hapo juu.